Ngedere na Ndizi
Baby Monkey’s Bananas
Imefasiriwa na Harold Mhando
Picha Zimechorwa na Graeme Viljoen
(Cambridge African language Library
Vitabu Vilivyochaposhwa kwa Kiswahili)
Ngedere Mdogo alipenda
Kila mara kaka na dada walipopata ndizi, Negedero Mdogo alijaribu kuwapokonya na kuzibugia zote.
“Mwanagu, acha ulafi!” Mama Ngedere alimkaripa.
Ngedere Mdogo hakupenda kukaripiwa na mama.
“Nitatoroka nyumbani”, alijisemea kimoyomoyo.
Basi aliruka kutoka mti hadi mti, mgomba hadi mgoba.
Akajikuta kati ya chaka la migomba.
Ghafla Ngedere Mdogo aliona mgomba mkubwa
Juu yake kulikuwa na mkungu mkubwa wa ndizi.
(중략)
Mara akatokea tembo. “Tembo utanisaidia?
Nimepata mkungu wa ndizi mkubuwa
Nataka kuupeleka nyumbani,” aliomba kwa shauku.
“Mmm” Tmbo alisema. “Huo mkungu una ndizi nzuri
Bila shaka nitakusaidia
(하략)