----------------/탄자니아에서(2009~2010년)

탄자니아 동화책-Ngedere na Ndizi _아기원숭이와 바나나

도원&민화&우주 2009. 11. 29. 23:42

Ngedere na Ndizi

Baby Monkeys Bananas

 

Imefasiriwa na Harold Mhando

Picha Zimechorwa na Graeme Viljoen

 

(Cambridge African language Library

 Vitabu Vilivyochaposhwa kwa Kiswahili)




Ngedere Mdogo alipenda sana ndizi mbivu.

Kila mara kaka na dada walipopata ndizi, Negedero Mdogo alijaribu kuwapokonya na kuzibugia zote.

Mwanagu, acha ulafi! Mama Ngedere alimkaripa.

 

Ngedere Mdogo hakupenda kukaripiwa na mama.

Nitatoroka nyumbani, alijisemea kimoyomoyo.

Basi aliruka kutoka mti hadi mti, mgomba hadi mgoba.

Akajikuta kati ya chaka la migomba.

 

Ghafla Ngedere Mdogo aliona mgomba mkubwa sana.

Juu yake kulikuwa na mkungu mkubwa wa ndizi.

 

(중략)

 


Mara akatokea tembo.
Tembo utanisaidia?

Nimepata mkungu wa ndizi mkubuwa sana.

Nataka kuupeleka nyumbani, aliomba kwa shauku.

Mmm Tmbo alisema. Huo mkungu una ndizi nzuri sana.

Bila shaka nitakusaidia kama tutagawana sawa kwa sawa.

 

(하략)